Entertainment

KALIFAH AGANAGA ATIA NIA YA KUWANIA UNAIBU WA RAIS KWENYE MUUNGANO WA WANAMUZIKI UGANDA

KALIFAH AGANAGA ATIA NIA YA KUWANIA UNAIBU WA RAIS KWENYE MUUNGANO WA WANAMUZIKI UGANDA

Msanii na prodyuza wa muziki nchini Uganda Kalifah Aganaga ametia nia ya kugombea  wadhifu wa unaibu wa rais katika muungano wa wanamuziki nchihi humo kwenye uchaguzi  wa mwaka huu

Kupitia mitandao yake ya kijamii Aganaga amesema ana vigezo vyote vya kuwa naibu wa rais wa muungano huo ikizingatiwa kuwa ana uelewa mpana wa changamoto zinazowakumba wanamuziki nchini uganda.

Hata hivyo ametoa wito kwa wanachama wa UMA kuunga mkono azma yake ya kuwa naibu wa rais wa muungano huo huku akiwataka wampe kura zao, uchaguzi wa kuwachagua viongozi wapya utakapowadia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *