Sports news

Kylian Mbappe atoa kauli baada ya kulikosa Kombe la Dunia 2022

Kylian Mbappe atoa kauli baada ya kulikosa Kombe la Dunia 2022

Nyota Kylian Mbappe wa Ufaransa amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kulikosa Kombe la Dunia 2022 huku likienda Argentina.

Kupitia akaunti yake ya Instagram Mbappe ameandika; “Tutarudi tena,”

Kauli hiyo imechambuliwa kuwa matumaini ya Ufaransa ambao mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa 2018 wanayepeleka michuano ijayo 2026.

Mbappe ameibuka mfungaji bora akiwa na mabao 8 akifuatiwa na Lionel Messi wa Argentina mabao 7.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *