Sports news

AUBAMEYANG ASHINDWA KUENDELEA NA AFCON, ARUDISHWA ARSENAL KWA AJILI YA MATIBABU

AUBAMEYANG ASHINDWA KUENDELEA NA AFCON, ARUDISHWA ARSENAL KWA AJILI YA MATIBABU

Kocha wa timu ya Gabon Patrice Neveu amethibitisha kuwa nyota wa timu hiyo Pierre-Emerick Aubameyang amerudishwa katika Klabu ya Arsenal kwa ajili ya matibabu zaidi.

Aubameyang alikutwa na COVID-19 mnamo January 6 mwaka huu. Hadi sasa hajacheza mchezo wowote wa AFCON na timu yake ambayo ina pointi 4 ikiwa kundi C na timu za Ghana, Morocco na Comoros.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *