Entertainment

CARDI B ATANGAZA KUACHIA RASMI ALBUM YAKE MWAKA WA 2022

CARDI B ATANGAZA KUACHIA RASMI ALBUM YAKE MWAKA WA 2022

Rapa Cardi B kutoka Marekani ameendelea kuwa mtu wa ahadi kwa mashabiki wa muziki wake juu ya ujio wa album yake mpya baada ya miaka mitatu sasa.

Jana kupitia Instagram LIVE, Cardi B amesema watu watarajie album mpya wakati wowote kuanzia mwaka 2022.

Sababu kuu ya kuchelewa kuachiwa kwa album hiyo ni muda, Cardi B amedai kwamba amekuwa na muda finyu ukizingatia kwa sasa ana watoto wawili.

Invasion of Privacy ya mwaka 2018 ndio album pekee ambayo Cardi B amewabariki mashabiki zake tangu atie mguu kwenye muziki.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *