Entertainment

Kim Kardashian anunua mkufu wa msalaba uliowahi kumilikiwa na Princess Diana

Kim Kardashian anunua mkufu wa msalaba uliowahi kumilikiwa na Princess Diana

Baby Mama wa Rapa Kanye West, Kim Kardashian ameongeza mkufu wa mamilioni ya fedha kwenye orodha ya vito vyake vya thamani na vya kukumbukwa.

Tovuti ya TMZ imeripoti kwamba, Mwanamama huyo amenunua mkufu huo wenye umbo la msalaba ambao ulikuwa mali ya Princess Diana miaka ya 1980.

Mwakilishi wa Kampuni iliyopiga mnada mkufu huo amesema, Kim ameununua kwa zaidi ya KSh. milioni 24

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *