PROFESSOR JAY ATANGAZA UJIO WA EP MPYA

PROFESSOR JAY ATANGAZA UJIO WA EP MPYA

Staa mkongwe wa muziki wa rap nchini Tanzania, Professor Jay ameweka wazi kuachia EP mpya yenye jumla ya ngoma 5 hivi karibuni. Kupitia ukurasa wake wa instagram Professa Jay ameandika ujumbe unaosomeka “Badala ya kuwapa chakula cha ubongo kwa single moja naona kama niwape chakula cha EP ya nyimbo 5 au mnasemaje Maboss wangu” Professa Jay amebainisha hilo ikiwa ni takribani miezi 6 imepita tangu alipoachia hitsong yake iitwayo “Utanambia Nini”.

Read More