Jini mkata kamba aingilia ndoa ya Kylie Jenner na Travis Scott

Jini mkata kamba aingilia ndoa ya Kylie Jenner na Travis Scott

Kylie Jenner na Travis Scott wameachana tena, chanzo cha karibu na wawili hao kimeripoti kwamba hata msimu huu wa Sikukuu wamesherehekea kila mmoja kivyake. Hii inakuwa mara ya pili kwa wapenzi hao kuachana, penzi lao liliwahi kuvunjika Oktoba 2019 na kurudiana tena Mei, 2021. Hata hivyo mitandao ya nchini Marekani inaeleza kwamba, Kylie na Travis wataendelea kushirikiana kwenye malezi ya watoto wao wawili, Stormi na wa Kiume (Wolf) waliyempata Februari mwaka 2022.

Read More
 Travis Scott na Kylie Jenner kubadilisha jina la mtoto wao

Travis Scott na Kylie Jenner kubadilisha jina la mtoto wao

Rapa kutoka Marekani Travis Scott na Baby Mama wake Kylie Jenner wanapanga kubadilisha Jina la mtoto wao wa kiume (Wolf Webster), wawili hao wanajuta kumpatia Jina hilo mtoto huyo wa pili ambaye ana umri wa miezi 8 sasa. Kwa mujibu wa Kylie kwenye Episode ya Keeping Up with The Kardashians, Jina hilo lilitolewa na Khloe Kardashian na kwa wakati huo alilipenda lakini punde tu baada ya kuliandika na kuangusha saini kwenye cheti cha Kuzaliwa, aliingia majuto ya kutamani kulibadilisha.

Read More