LINEX AACHIA PROJECT YAKE – TATU ZA MJEDA

LINEX AACHIA PROJECT YAKE – TATU ZA MJEDA

Mkali wa muziki  Bongofleva Linex Mjeda ameachia rasmi EP yake mpya inayokwenda kwa jina la tatu za Mjeda. Tatu za Mjeda  EP ina jumla ya ngoma tatu za moto na bonus track moja ambapo amewashirikisha wakali kama Darassa na Belle 9. EP hiyo ina nyimbo kama Sherehe,Sina cha kupoteza na Siwema na inapatikana ‘Exclusive’ kupitia mtandao wa kukisikiliza na kupakua muziki wa Boomplay. Tatu za Mjeda  ni EP ya kwanza kwa mtu mzima Linex tangu aanze safari yake ya muziki  baada ya dunia nyingine ya mwaka wa 2020 iliyokuwa na jumla ya mikwaju 5 za moto.

Read More