Maua Sama mbioni kuachia Album mpya
Mwanamuziki wa Bongofleva Maua Sama anaunza mwaka 2023 kwa kishindo. kupitia ukurasa wake wa Instagram ametangaza kuachia album mpya Februari 14, kwenye siku ya wapendao maarufu kama Valentines. Maua Sama ameipa album hiyo jina la Love Waves yaani “Mawimbi ya upendo”. ”Album title Love Waves! This Valentine’s 2023”, Aliandika. Hata hivyo bado hajaweka wazi idadi ya nyimbo na wasanii walioshirikishwa kwenye album hiyo.
Read More