Djokovic afuzu fainali Australia

Djokovic afuzu fainali Australia

Nyota Novak Djokovic anataraji kupambana na Mmarekani Sebastian Korda kwenye mchezo wa fainali ya shindano la tenisi la Adelaide International itakayochezwa mnamo Jumapili ya Januari 08-2023 nchini Australia Djokovic amefuzu kucheza fainali baada ya kumfunga Mrusi Daniil Medvedev kwa seti 2-0 yaani 6-3 6-4 huku shindano hilo ni maalumu kwa ajili ya kujiandaa na Michuano ya Wazi ya Australia yanayotaraji kuanza Januari 16 mpaka 29-2023 kwenye viwanja vya Melbourne Park nchini Australia

Read More