Paa Kwaci atangaza ujio wa ziara yake ya muziki nchini Marekani

Paa Kwaci atangaza ujio wa ziara yake ya muziki nchini Marekani

Mwanamuziki Paa Kwaci  ametangaza kuja na ziara yake ya nchini Marekani kuanzia mwezi Februari mwaka 2023. Akizungumza na tovuti ya UrbanSpice msanii huyo mwenye makaazi nchini Canada amesema kwa sasa yupo kwenye matayarisho ya mwisho kukamilisha mipango ya tour yake hiyo. Licha ya kutoanika mkeka wa miji ambayo ziara yake hiyo itapita, amesema aliamua kuja na wazo ya ziara hiyo kwa ajili ya kutanua wigo wa muziki ili iweze kuwafikia wengi. Katika hatua nyingine, amedokeza ujio wa kolabo zake mbili ambazo amemshirikisha Rapa mkongwe Snoop Dog pamoja na Sean Kingston kwa kusema kuwa huenda ikaingia sokoni wiki ijayo, hivyo mashabiki wakae tayari kwa ajili ya kuupokea ujio wake mpya.

Read More
 Mwanamuziki wa Canada Paa Kwaci mbioni kuachia wimbo mpya

Mwanamuziki wa Canada Paa Kwaci mbioni kuachia wimbo mpya

Msanii wa Hiphop kutoka nchini Canada Paa Kwaci amefichua mpango wa kuachia wimbo mwingine baada ya wimbo wake Mama Africa kuendelea kufanya vizuri kwenye majukwaa yote ya kupakua na kusikiliza muziki mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa Facebook Paa Kwaci amesema tayari ameingia studio kwa ajili ya kuurekodi wimbo huo ambao ameupa jina la Pushin Me “Recording a new song called “Pushin Me.”, Aliandika. Licha ya kutoweka wazi ni lini wimbo utaingia sokoni, rapa huyo amewataka mashabiki zake kukaa mkao wa kula kupokea wimbo huo ambao ameutaja kuwa wa kitofauti. Kauli yake hiyo imekuja siku chache mara baada ya kuweka wazi jina la wimbo wake na staa wa muziki kutoka Marekani Sean Kingston, Baba Remix huku pia akidokeza ngoma nyingine iitwayo Bragging Rights atakayomshirikisha rapa mkongwe duniani Snoop Dog na Khatun Snow.

Read More
 Ghanaian artist Paa Kwaci claps back to a fan who claimed his collabo with Sean Kingston is a scam

Ghanaian artist Paa Kwaci claps back to a fan who claimed his collabo with Sean Kingston is a scam

Ghanaian artist Paa Kwaci is not interested in haters, especially at the beginning of the year. Responding to a fan who claimed his collaboration with Sean Kingston is a scam on Facebook, Paa Kwaci said they had been planning to work with the American -Jamaican star for a long time, therefore he will not allow anyone to drag him behind in achieving his dreams. “If I almost got frauded once, it doesn’t necessarily mean every connection is a fraud. Besides you don’t even know how long I got this or anything, you get up to try judging me” The artist, who is doing well with the song “Mama Africa”, said that he will not let the past define his future terming those calling him out as enemy of progress. “Don’t be an enemy of progress. Things happen, you let it go and move onto greater things. No need holding onto the past” However, he urged his fans to stop throwing shades at him on social media, and instead support his drive to take Africa music internationally. ” If you cannot support the movement, then fall back, it’s not a force dude.” Paa Kwaci was forced to defend himself after a fan warned him to take caution before working with Sean Kingston or else he will be conned by scammers. “You are always quick to post things like this here and later be telling us that they want to fraud you. “You posted on record a certain label wanting to sign you. Later you came here saying they are scammers.”, A fan wrote on his Facebook page after he shared a snippet of his collaboration with Sean Kingston.

Read More
 Paa Kwaci and Sean Kingston set to drop a Collabo

Paa Kwaci and Sean Kingston set to drop a Collabo

The Ghanaian Rapper Paa Kwaci and Jamaican music star, Sean Kingston are working on a new single together. The news came from Paa Kwaci who dropped a snippet of the song on his social media platform. “Sean Kingston ft Paa Kwaci the Artist Coming Soon with a Banger..!! Watch out.”, He wrote on his Facebook page. The upcoming joint has gotten a lot of optimism from music lovers who long for the sensational vibes the two music stars will offer. Early last week, he dropped his first project of 2023 titled MamaAfrica, a song that talks about the value and beauty of Africa.

Read More
 Paa Kwaci releases new song ‘Mama Africa’

Paa Kwaci releases new song ‘Mama Africa’

Fast-rising Ghanian Hip-hop artiste based in Calgary, Alberta, Canada, Walter Kwesi Ayivor popularly known as Paa Kwaci has unveiled his new song Mama Africa. Mama Africa which he featured artists like Khatusnow and Natty Ogli was produced by Lekto, is a song about the value and beauty of Africa. Mama Africa which is available on Apple Music, Spotify, Boomplay, and all other digital platforms has created quite a stir on the internet. The song has impressed beyond Africa as evidenced by clips shared on his timelines showing people from around the world jamming to the song. Paa Kwaci who owns his record label known as Superior Entertainment, came to the limelight in 2020  and has shown his capability to become Africa’s next music star especially with the success of his debut 5-track EP dubbed ‘High Spirit’.

Read More
 Paa Kwaci drops a teaser for highly anticipated project  ‘Mama Africa’, also reveals release date

Paa Kwaci drops a teaser for highly anticipated project ‘Mama Africa’, also reveals release date

Multiple talented fast-rising Ghanian artiste based in Calgary, Alberta, Canada, Walter Kwesi Ayivor popularly known as  Paa Kwaci has dropped the teaser of his upcoming power-packed song “Mama Africa” that also features artists like Khatusnow and Natty Ogli. The teaser has created a buzz on the internet and the fans are eager to listen to the full song. Taking it to the Facebook page, Paa Kwaci shared the teaser and wrote: “The Count down begins…… till the release of #mamaafrica #Anticipate #december #25th.” Mama Africa, a song that talks about the value and beauty of Africa, is produced by Lekto and set to be released on December 25, 2022. Fans are now free to pre-order the song on Spotify, Boomplay, and all other digital platforms before the official release. Paa Kwaci who owns his record label known as Superior Entertainment, came to the limelight in 2020 when he realesed his debut 5-track EP dubbed ‘High Spirit’.

Read More