Mgogoro waibuka kwenye mgawanyo wa mali za Take Off

Mgogoro waibuka kwenye mgawanyo wa mali za Take Off

Rapa Takeoff alifariki dunia kabla ya kuandika wosia. Familia yake kwa sasa imeingia kwenye mgogoro mzito wakigombea mali zake zenye thamani ya mabilioni. Taarifa za ndani zinadai kwamba, wazazi wake walitengana kipindi Takeoff ana umri mdogo sana na alilelewa na Mama yake mzazi. Sasa Baba zake wakubwa na wadogo nao wameibuka na kudai kuwa sehemu ya mali za Takeoff.

Read More
 Lebron James aendelea kumuenzi Take Off

Lebron James aendelea kumuenzi Take Off

Nyota wa mpira wa kikapu ulimwenguni Lebron James maarufu kama King James ameendelea kumuenzi aliyekuwa rapa kutoka kundi la Migos, Take Off aliyefariki Novemba 1 mwaka huu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram King James ameandika “Kama unanifahamu basi unajua kiasi gani nilimpenda Take Off, kwangu bado siamini kama ni kweli hatupo naye!” Nyota huyo wa kikapu siku ya jana alivaa nguo za mfanano na nguo alizowahi kuvaa rapa Take Off, ikiwa ni katika kuendelea kumuenzi rapa huyo.

Read More