DIAMOND NA ZARI KUONEKANA NETFLIX MWEZI MACHI MWAKA 2022

DIAMOND NA ZARI KUONEKANA NETFLIX MWEZI MACHI MWAKA 2022

Msanii wa Bongofleva, Diamond Platnumz na baby mama wake, Zari The Bosslady ni miongoni mwa Mastaa wa Afrika watakaonekana katika mtandao wa Netfflix Machi 18, mwaka wa 2022. Netflix tawi la Afrika Kusini limetangaza Mastaa hao wataonekana katika documentary waliyoipa jina la Young, Famous & African. Ikumbukwe Diamond atakuwa Mtanzania mwingine kuonekana Netflix baada ya Idris Sultan ambaye Machi 26, mwaka 2021 alionekana kwenye mtandao huo kupitia filamu iitwayo ‘Slay’ iliyokutanisha Mastaa wa Afrika kama Ramsey Noah, Fabian Adeoye Lojede, na wengine wengi.

Read More
 ZARI AVUNJA UKIMYA TAARIFA ZA KUOLEWA

ZARI AVUNJA UKIMYA TAARIFA ZA KUOLEWA

Mrembo Zari The Bosslady amewataka mashabiki wake kupuuzia taarifa zinazodai kuwa ameolewa. Zari ambaye ni baby mama wa msanii wa BongoFleva amesema picha hizo zinazodaiwa ni za ndoa yake, zimetoka kwenye kuandaa video ya msanii chipukizi wa muziki wa Injili. Utakumbuka mwaka wa 2020 ilisemekana kuwa Zari pia ameolewa na mwanaume aitwaye ‘King Bae’ lakini baadaye alikuja kuweka wazi hilo halikuwa kweli. Mwanamama huyo wa watoto watano sasa ni miongoni mwa wanawake wenye nguvu ya ushawishi Afrika Mashariki, huku akiwa na followers zaidi ya milioni 9.7 kwenye mtandao wa Instagram.

Read More