Entertainment

CHANNEL ZA R. KELLY YOUTUBE ZAFUNGIWA KUFUATIA MASHTAKA YA UNYANYASAJI WA KINGONO.

CHANNEL ZA R. KELLY YOUTUBE ZAFUNGIWA KUFUATIA MASHTAKA YA UNYANYASAJI WA KINGONO.
Kufuatia mashtaka ya unyanyasaji wa kingono kwa wasichana wadogo na makosa mengine yanayomkabili nguli wa muziki wa R&B duniani, R. Kelly, mtandao wa Youtube umechukua hatua ya kuzifungia channel rasmi za staa huyo.
 
Channel hizo ni pamoja na R Kelly TV na R Kelly Vevo ila, nyimbo za nguli huyo bado zipo Youtube kupitia channel za watu wengine.
 
Kwa sasa R.Kelly anasubiria hukumu yake ambayo imetajwa kutolewa Mei 4 mwakani, na huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 10 au kifungo cha maisha gerezani.
 
 
 
 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *