Entertainment

ASAP ROCKY AMTOLEA UVIVU CHRIS BROWN KUPITIA WIMBO WAKE MPYA D.M.B

ASAP ROCKY AMTOLEA UVIVU CHRIS BROWN KUPITIA WIMBO WAKE MPYA D.M.B

Rapa kutoka Marekani Asap Rocky amemchana Chris Brown kwenye wimbo wake mpya (D.M.B) ambao umetoka Mei 5 Mwaka huu.

Kwenye moja ya verse katika ngoma hiyo, A$AP Rocky amesema “I don’t beat my b*tch, I need my b*tch.” akihusisha na tukio la Chris Brown kumpiga Rihanna mwaka 2009.

Jina la wimbo huo limefupishwa kuwa (D.M.B) ikiwa na maana ya “DAT$ MAH B!*$H.”

Utakumbuka mwaka 2009 Chris Brown alimpiga Rihanna wakiwa kwenye gari na kumsababishia michubuko usoni kiasi cha kupelekea wawili hao kuachana.

Chris Brown alihukumiwa kifungo cha nje miaka 5 huku akiwa chini ya uangalizi pamoja na kufanya kazi za Kijamii.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *