ERIC OMONDI AJA NA MASHARTI MAPYA YA MALIPO KWA WASANII WA KENYA
Mchekeshaji ambaye hivi karibuni ameibuka na kupigania maslahi ya muziki wa Kenya Eric Omondi ameibuka tena na kuwapa masharti waandaaji wa matamasha ya muziki nchini. Eric Omondi amesema wasaanii wanapaswa kulipwa asilimia 70 ya pesa kabla ya show na inayobaki wapewe wakishafika kwenye eneo ambalo show itafanyika. Lakini pia hajaishia hapo amewataka waandaji wa matamasha kuwalipa vizuri wasanii wa Kenya kwa kuwagawa wasanii katika makundi mawili. Kundi la kwanza la wasanii linapaswa kulipwa si chini ya shilling laki 6 za Kenya huku wasanii kundi la pili likitakiwa kulipwa shilling laki nne. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Eric Omondi ameandika “lease be NOTIFIED that this YEAR I will PERSONALLY SCRUTINISE every detail of Every EVENT!!! I want to know how much ARTISTS are paid. I want to ensure that Every ARTIST is paid 70 PERCENT of their money PRIOR and 25 PERCENT on the day of the Event before the EVENT. Every A LIST Artist must be paid not less than Ksh 600,000. By A LIST I mean the following.NADIA MUKAMI – KSH 600,000 OTILE BROWN – KSH 1.5 MILLION NYASHINSKI – KSH 1.5 MILLION SAUTI SOL – KSH 2.8 MILLION All the B LIST Artist must be paid not less than KSH 450,000. i.e Ethic, Trio Mio etc.All EVENTS MUST BE HEADLINED BY A KENYAN ARTIST Whether BEYONCE is performing or not!!! SECURITY MUST Be PROVIDED for all ARTIST. A World CLASS BACKSTAGE FOR All ARTIST is NON NEGOTIABLE”
Read More