TORY LANEZ ADAI DRAKE NA THE WEEKND WANAMBANIA KOLABO

TORY LANEZ ADAI DRAKE NA THE WEEKND WANAMBANIA KOLABO

Rapa Tory Lanez ameweka wazi kwamba Drake na The Weeknd wamekuwa wakimbania kolabo kila anapojaribu kuwacheki. Mkali huyo kutoka Canada kupitia Twitter aliandika ujumbe unaosomeka “Nimekuwa nikiwatumia nyimbo kwa miaka sasa, lakini hakuna hata mmoja aliyekubali.” Tory Lanez amefunguka hayo alipokuwa akijibu swali la shabiki mmoja ambaye aliuliza kama kwenye Album yake mpya kutakuwa na kolabo ya Drizzy au The Weeknd.

Read More
 RAPA TORY LANEZ AACHIWA KWA DHAMANA YA SHILLINGI MILLIONI 40 ZA KENYA

RAPA TORY LANEZ AACHIWA KWA DHAMANA YA SHILLINGI MILLIONI 40 ZA KENYA

Rapa Tory Lanez ameachiwa huru kutoka rumande baada kufanikiwa kulipa dhamana ya shilling milllioni 40 za Kenya. Aprili 5 mwaka huu zilitoka taarifa za mkali huyo kutoka nchini Canada kupigwa pingu na kuweka rumande ya mahakama mjini Los Angeles baada ya kukutwa na hatia ya kukiuka amri ya mahakama iliyotolewa kumkinga Megan Thee stallion kwenye shtaka lao linaloendelea. Ikumbukwe Tory Lanez anakabiliwa na Mashtaka mawili ambayo ni kumshambulia rapa Megan thee Stallion mwaka 2020 na pia kubeba silaha yenye risasi kinyume na sheria.

Read More